Fundi App ni mfumo wa kisasa unaokuunganisha na mafundi bora, maduka ya vifaa, na huduma za dharura popote nchini Tanzania.
Inatumiwa na mafundi 500+ Tanzania.
App imeundwa kwa Kotlin, ikitoa kasi ya ajabu na urahisi wa kutumia bila kukwama.
Orodha ya mafundi inahifadhiwa ndani ya simu yako, hivyo unaweza kuitumia hata bila bando.
Ongea na fundi moja kwa moja. Hakuna kupoteza muda kwenye kutuma barua pepe.
Inayovuma kwenye Blog
Jiunge na maelfu ya watumiaji wanaofurahia huduma bora ya ufundi nchini Tanzania kupitia simu zao.
V1.5.9 RELEASE